Tukiwa tumepata idhini ya kuwa Radio Washirika na Wizara ya Kilimo katika maonesho ya wakulima nane nane kwa mwaka huu .

CFM radio 103.3 Dodoma itaweka kambi maalum kwa ajili yako Mdau na mfanyabiashara ,katika maonesho ya wakulima nane nane ambayo yatafanyika katika Viwanja vya nzuguni Jijini Dodoma,yaaani ni Banda kwa Banda kwa matangazo ya Moja kwa moja, Wasiliana na idara ya Masoko kwa namba 0718675428 ,au kupitia email kombavero6@gmail.com

Kilimo ni mchongooooooo🔥

0 0 votes
Article Rating
Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x