Takriban watu 22 waliuawa baada ya vitambulisho kukaguliwa nchini Pakistan
Watu wenye silaha wamewaua takriban watu 22 kusini-magharibi mwa Pakistan baada ya kuwalazimisha kutoka kwenye magari yao na kuangalia utambulisho wao, maafisa wanasema. Shambulio hilo lilitokea usiku wa kuamkia leo kwenye barabara kuu ya mkoa wa Balochistan, ambapo vikosi vya usalama vinapambana na ghasia za kidini, kikabila na kujitenga. Watu hao waliokuwa na silaha walikagua […]
Takriban watu 22 waliuawa baada ya vitambulisho kukaguliwa nchini Pakistan Read More »