Uncategorized

BUNDI NA NGEDERE WASABABISHA UMEME WA TRENI YA SGR KUKATIKA

Shirika la Reli Tanzania (TRC), limeomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete na kusababisha treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili usiku wa jana July 30, 2024 ambapo limesema taarifa za awali zinaonesha

BUNDI NA NGEDERE WASABABISHA UMEME WA TRENI YA SGR KUKATIKA Read More »