Maafisa kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Bw. Ali Shauri na Bi. Khadija Sadiq wakiwa studio za Redio CFM ya Mkoani Dodoma wakifanya mahojiano juu ya Udahili na Taarifa mbalimbali zinazohusu Chuo hicho.

Maafisa kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Bw. Ali Shauri na Bi. Khadija Sadiq wakiwa studio za Redio CFM ya Mkoani Dodoma wakifanya mahojiano juu ya Udahili na Taarifa mbalimbali zinazohusu Chuo hicho.